Kundi la Bongo movie unity limepata uongozi mpya wa club hapa nchini hapo jana baada ya kufanyika kwa uchaguzi wake kwenye viwanja vya leaders kinondoni jijini Dar es Salaam.Mwenyekiti. Steven Nyerere.Makamu mwenyekiti : Mahsein awadhi "Dr cheni"Katibu mkuu: William MtituKatibu mkuu msaidizi : Devotha mbagaMtunza hazina: Issa musa “cloud"Msaidizi wake ni: Cathy rupia