Dully akiwa studio
“Nafungua Studio kubwa kabisa kwa sababu ya live na matangazo,” aliiambia Clouds FM. “Sisemei kama hakuna studio bora zipo studio bora nyingi tu, kwahiyo itakuwa kati ya zile studio bora, sehemu ambayo naihamishia ni Bima Tabata. Wapenzi wa muziki wangu wanaopenda kufanya kazi na mimi nitaanza live sasa hivi, kwahiyo nitaanza kufanya na mabendi ili kutangaza biashara yangu,” aliongeza.
