NEWS

25 Machi 2017

Breaking News,,Baada ya Jana Kuawaapisha Mawaziri,Rais Magufuli Afanya Uteuzi Mwingine Mpya Leo..!!!


Rais Dkt Magufuli JP amteua Bw. Charles Edward Kichere kuwa Kamishna Mkuu Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)