NEWS

6 Juni 2017

H. Polepole: Anna Mghwira Amekubali Sharti la Kuwa RC na Kusimamia Ilani ya CCM..!!!


Hamphrey Polepole, amesema Anna Mghwira amekubaliana na sharti moja la kuwa RC na kusimamia ilani ya CCM na kufanya kazi bila kujali itikadi.