NEWS

29 Septemba 2017

UWT MKOA WA RUVUMA KUJENGA KIWANDA CHA SABUNI

Hayo yamesemwa na mwenyekiti mpya wa jumuiya wa wanawake wa chama cha mapinduzi UWT bi scholla manyasa wakati akizungumza na baadhi ya viongozi wapya waliochaguliwa hivi karibuni.