NEWS

23 Februari 2018

Shilole Amuwekea Ngumu Uchebe "Sikubali Mume Wangu Aoe Mke wa Pili Hata Kama Dini Inaruhusu"

Shilole Amuwekea Ngumu Uchebe "Sikubali Mume Wangu Aoe Mke wa Pili Hata Kama Dini Inaruhusu"
Baaada ya Mkuu wa wilaya ya Pangani Zainab Abdallah, kushangaza watu wengi kwa kutoa pongezi kwa Mume wake baada ya kuoa mke wa Pili, Sasa Mwanamuziki Shilole yeye amesema kwamba katu hawezi kukubali Mumewe Uchebe aoe mke wa Pili hata kama Dini yake inaruhusu.

….>>>“Mimi mume wangu hawezi kuowa mke wa pili, anaoa mke wa pili how..? hata kama dini inaruhusu, mimi nina mapungufu gani mpaka uoe mke wa pili na mimi sina mapungufu yeyote mpaka uoe mke wa pili na mume wangu kamwe hawezi kuoa mke wa pili na sito kubali hatujawai kuzungumza na uchebe hana plan hizo” – Shilole