HAPA nimekuwekea matokeo ya awali ya uchaguzi wa ubunge Jimbo la Kinondoni yameanza kubandikwa nje ya vituo vya kupigia kura yakionyesha mgombea wa CCM, Maulid Mtulia akiongoza katika baadhi ya vituo.
Katika matokeo hayo, Mtulia anafuatiwa kwa karibu na mgombea wa Chadema, Salum Mwalimu huku wa CUF, Salum Rajab Juma akishika nafasi ya tatu lakini kwa tofauti kubwa ya kura.
Baadhi ya matokeo hayo ni kama ifuatavyo;
Kituo cha Mashuka namba mbili Kata ya Tandale
Mtulia kura 45
Mwalimu 16
Salum Juma kura 7
Wagombea wengine tisa wa vyama vingine wakipata kura sifuri.
Katika kituo cha Shule ya Msingi Kijitonyama C3
Matulia amepata kura 23
Mwalimu 24
Mgombea wa CUF akipata kura 1 na Mohamed Majaliwa wa NRA kura 1.
Kituo hicho kina wapigakura 373 ila waliopiga kura ni 49.
Kituo cha Kijitonyama C2,
Mwalimu kura 18
Mtulia 18
wagombea wengine wakipata sifuri.
Kituo cha kijitonyama Shule ya Msingi C1,
Mtulia amepata kura 29,
Mwalimu kura 34
Juma wa CUF kura 1.
Kituo cha Ofisa Mtendaji wa Kata A-4, Kata ya Hananasifu
Mtulia kura 38,
Mwalimu kura 29 na Juma 2.
Katika Kituo cha Ofisa Mtendaji wa Kata C2,
Kata ya Hananasifu;
Mwalimu kura 43
Mtulia kura 34.
Kituo cha Ofisa Mtendaji wa Kata B-1, Kata ya Hananasifu;
Mtulia kura 42,
Mwalimu 32
Wagombea wa CCK na TLP wakipata kura moja kila mmoja.
Kituo cha Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa B4 kilichopo Kata ya Hananasifu;
Mtulia amepata kura 31
Mwalimu kura 37,
Juma 1
Mgombea wa Tadea kura 1.
Kituo cha Kisutu A-2 Kata ya Hananasifu;
Mtulia kura 48,
Mwalimu 39.
Kituo cha Ofisi ya Mtendaji Kisutu A-3 Kata ya Hananasifu
Mwalimu kura 29
Mtulia kura 32
Juma kura 1.
Kituo cha Leaders Club Frat-3 Kata ya Kinondoni
Mtulia kura 35
Mwalimu 27.
Kituo cha Ofisi ya Mtendaji Mtaa B-1 Kata ya Hananasif
Mtulia amepata kura 42
Mwalimu kura 32.
Kituo cha Hananasif A1 Kata ya Kinondoni
Mtulia amepata kura 37,
Mwalimu 23
Juma 1.
Kituo cha Shule ya Msingi Kijitonyama Kata ya Kijitonyama
Mwalimu amepata kura 19
Mtulia kura 19.
Kituo cha Ofisi ya Ardhi-2 Kata ya Kinondoni
Mwalimu amepata kura 23, Mtulia 19.
Kituo cha Shule ya Msingi Kijitonyama A-1
Mtulia kura 25
Mwalimu kura 35.
Kituo cha Idrisa 6 Kata ya Magomeni
Mtulia amepata kura 58
Mwalimu kura 21.
Kituo cha Idrisa 3 Kata ya Magomeni,
Mwalimu amepata kura 180
Mwalimu kura 36
Juma 3.
Kituo cha Idrisa 1 Kata ya Magomeni
Mtulia kura 26
Mwalimu kura 21
Juma 3.
Kituo cha Idrisa 2 Kata ya Magomeni
Mtulia amepata kura 44
Mwalimu 23
Juma 3.
Kituo cha Ofisi ya Aweo-5 Kata ya Makumbusho
Mtulia amepata kura 42
Mwalimu 20
Juma 2.
Kituo cha Weo Kata ya Makumbusho
Mtulia amepata kura 54
Mwalimu 36
Juma 1
Johnson Mwangosi wa Sau 1.
Matokeo zaidi yataendelea kukujia hapahapa
The post Tazama Matokeo ya Uchaguzi Kinondoni Kutoka Vituo Mbalimbali appeared first on Global Publishers.