NEWS

22 Februari 2018

VIDEO: 'Sababu Za Kifo Tuna Uwezo Wa Kuzizuia' MAKONDA

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Mkonda amesema hakuna mwenye uwezo wa kuzuia kifo lakini sababu zake zinaweza kuzuilika. RC Makonda ameyasema hayo wakati akitoa salamu za pole kwa waombolezaji waliojitokeza kwenye ibada ya kumuaga Mwanafunzi wa Chuo Cha Usafirishaji NIT, Akwilina Akwilini kilichotokea Februari 16, kwa kupigwa risasi.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI