Ameandika haya Kupitia ukurasa wake wa Facebook:
'Siku ya 100 leo mwandishi Azory Gwanda hajulikani alipo. Umefika muda Mwafaka Gazeti la Mwananchi lichapishe Habari ambayo Azory aliituma chumba cha Habari kabla ya kutekwa na kupotezwa.' Zitto Kabwe