NEWS

17 Mei 2018

“Serikali ya Mizuka, Tutaangukia pua Muda si Mrefu” –Pascal Haonga

Wabunge wameendelea kuchangia mapendekezo yao katika hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Kilimo kwa mwaka wa fedha 2018/19 iliyowasilishwa bungeni na Waziri wake Dr Charles Tizeba ambapo miongoni mwa Wabunge waliopata nafasi hiyo ni pamoja na Mbunge wa Mbozi Pascal Haonga aliyeilalamikia Serikali kushindwa kuwasaidia wakulima.

 VIDEO: