NEWS

13 Juni 2018

Kwanini Saa Za Automatic Ni Maarufu Tanzania

Kwanini Saa Za Automatic Ni Maarufu Tanzania
saa za automatic ni saa ambazo miaka ya karibuni zimepata umaarufu hasa kwenye mambo ya fashion ya saa hasa za mtindo wa skeleton kama hiyo juu kwenye picha.. saa za automatic ni saa ambazo hazitumii battery zinajichaji zenyewe kila ukitikisa mkono
  • saa hizi zimekuwa maarufu kutoka na sifa zake ambazo ni kama zifuatazo hapo chini
  • HAZITUMII BATTERY
sifa kubwa ya saa hizi hazitumiii battery zenyewe ukivaa ..jinsi unavyotisa mkono ndivyo zinavyozidi kujichaji yaani ukiitisha yenyewe ndo chaji yake inaingia ..hakuna haja ya battery
  • HAZIINGII MAJI
saa hizi haziingii maji 3ATM maana yake ni kwamba saa hizi kwenye maji ya mvua haziwezi kuingia pia maji ya kumwagikiwa bahati mbaya (splash water)
  • ZINAJICHAJI ZENYEWE
Saa hizi zina system za kujichaji zenyewe kupitia gia zake ambapo kuna gia ambayo ukitisa mkono inahifadhi nguvu hizi huitwa gia kuu (main spring) ukiwa na saa hii sahau kununua battery
  • WAPI ZINAPATIKANA NA JINSI YA KUNUNUA
saa hizi zinauzwa na mtandao wa daresalamshop.com ..kwa hawa jamaa ukiagiza utalipa mzigo ukifika majiji yote Tanzania arusha, dar mwanza,tanga,mbeya,moshi ,zanzbar,na iringa bofya link hiii kuagizaa bofya
>>>> skeleton automatic watch for men <<<<< au bofya hapo chini kwenye SHOP NOW kuagiza jaza address yako dereva ataleta cash on delivery