NEWS

18 Agosti 2018

VIDEO: Rais Magufuli Akishangiliwa na Abiria wa Ndege ya Boeing 787-8 Dreamliner Alipopanda Kuelekea Mwanza Leo

==>>Tazama Video Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli akishangiliwa na abiria wa ndege ya Boeing 787-8 Dreamliner ya Air Tanzania (ATCL) waliosafiri asubuhi  ya leo tarehe 18 Agosti, 2018 kutoka Dar es Salaam kwenda Mwanza.

==>>Hapo chini kuna Hotuba yake fupi baada ya Rais Magufuli kutua jijini Mwanza