==>>Tazama Video Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli akishangiliwa na abiria wa ndege ya Boeing 787-8 Dreamliner ya Air Tanzania (ATCL) waliosafiri asubuhi ya leo tarehe 18 Agosti, 2018 kutoka Dar es Salaam kwenda Mwanza.
Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli akishangiliwa na abiria wa ndege ya Boeing 787-8 Dreamliner ya Air Tanzania (ATCL) wanaosafiri asubuhi leo tarehe 18 Agosti, 2018 kutoka Dar es Salaam kwenda Mwanza pic.twitter.com/uKTgpsRfKJ— MPEKUZI (@mpekuzihuru) August 18, 2018
==>>Hapo chini kuna Hotuba yake fupi baada ya Rais Magufuli kutua jijini Mwanza
Alichokiongea Rais Magufuli leo Agosti 18,2018 Baada ya kutua Jijini Mwanza na ndege ya Abiria Boeing 787-8 Dreamliner pic.twitter.com/GkpmxzEmCC— MPEKUZI (@mpekuzihuru) August 18, 2018