Jeshi la polisi wakishirikiana na wananchi tayari wameshaanza kuchimba makaburi kwa ajili ya kuwapumzisha Marehemu waliofariki ktk ajali ya MV Nyerere.
Hadi kufikia sasa takribani Miili 172 imetambuliwa, 37 haijatambuliwa, 112 imeshachukuliwa na ndugu kwa ajili ya mazishi