NEWS

22 Septemba 2018

Maandalizi ya mazishi ya pamoja ya waliofariki ajali ya MV Nyerere Yameanza

Jeshi la polisi wakishirikiana na wananchi tayari wameshaanza kuchimba makaburi kwa ajili ya kuwapumzisha Marehemu waliofariki ktk ajali ya MV Nyerere. 

Hadi kufikia sasa takribani Miili 172 imetambuliwa, 37 haijatambuliwa, 112 imeshachukuliwa na ndugu kwa ajili ya mazishi