Waziri Uchukuzi, Isack Kamwelwe amesema kivuko cha MV Nyerere kilikuwa kimebeba watu 265 tofauti na uwezo wake wa kubeba watu 101.
Kawele ametoa kauli hiyo leo Jumapili Septemba 23, 2018 wakati wa ibada ya Mazishi ya miili ambayo haijatambuliwa na ndugu zao.
Kawele ametoa kauli hiyo leo Jumapili Septemba 23, 2018 wakati wa ibada ya Mazishi ya miili ambayo haijatambuliwa na ndugu zao.
Amesema idadi ya watu waliopoteza maisha kufuatia ajali hiyo iliyotokea Ukara Wilayani Ukerewe imefikia 224.
