Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameunda Tume ya watu 7 kuchunguza ajali ya MV Nyerere ikiongozwa na Jenerali Mstaafu, George Waitara na Mbunge wa Ukerewe, Joseph Mkundi
Pia amesema Rais Magufuli ameagiza kuitishwa kwa zabuni ya kutengeneza kivuko kipya cha uzito wa zaidi ya tani 50 na uwezo wa kubeba abiria zaidi ya 200 ili kichukue nafasi ya Mv Nyerere wakati kikiendelea na matengenezo.
Habari kwa kina itakuijia hivi punde
