LISHE hii ni maalumu kwa watu walio Linda na kudhoofika kwa sababu ya kuugua matatizo mbalimbali ya kiafya .
Pia inawasaidia na wale walio konda kwa sababu ya msongo wa mawazo.
MAHITAJI
1. Dawa LISHE ya kunenepesha mwili ( Hii ni dawa ya asili ambayo kazi yake ni KUONGEZA na kunenepesha mwili ulio dhoofika kwa kuugua.
2. Karoti 2
3 . Pilipili mbuzi 2
4. Chumvi kijiko kidogo kimoja.
5. Ndimu fresh moja.
6. Nanasi robo kilo
7. Njegere robo kilo.
8. Kunde mbichi robo kilo.
9. Papai bichi 1.
10. Embe kubwa moja
11. Parachichi moja.
MATAYARISHO NA MATUMIZI.
1. Chukua vijiko vidogo viwili vya dawa LISHE kisha changanya kwenye kikombe chenye maji ya moto au vugu vugu koroga na unywe. Utafanya hivyo Mara mbili kwa siku asubuhi jioni kwa muda wa siku thelathini.
2. Chukua vitu vyote vilivyo orodheshwa hapo juu yani karoti, ndizi mbivu, chumvi,ndimu,nanasi,njegere,kunde mbichi,papai bichi,karanga,embe na parachichi kisha visage kwenye blends kupata juisi yake.
MATUMIZI: Utakuwa unatumia kunywa glasi moja asubuhi na glasi nyingine utakuwa unatumia kunywa usiku.
Utakuwa unaweka interval ya dakika tano tangu unywe dawa LISHE yani ukisha kunywa dawa LISHE unakaa dakika tano kisha unakunywa juisi yako.
Unaweza KUONGEZA vipimo vyako kwa kutengeneza kiasi cha juisi ambayo unaweza kutumia kwa muda wiki nzima ili usisumbuke kutengeneza kila siku na utakuwa unahifadhi juisi yako kwenye friji.
Hii ni Tiba sahihi kabisa kwa MTU ambae amekonda na anataka kurejesha afya yake.
KUPATA DAWA LISHE YAKO FIKA KATIKA DUKA KA KUUZA DAWA ZA ASILI LA NEEMA HERBALIST. TUNAPATIKANA UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM JIRANI NA SHULE YA MSINGI UBUNGO NATIONAL HOUSING NYUMA YA JENGO LA UBUNGO PLAZA.
WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0693 005 189
