NEWS

29 Aprili 2019

Azam, Yanga Kuonyeshana Ubabe Leo

Ligi Kuu Soka Tanzania Bara (TPL) inatarajiwa kutimua vumbi tena leo ambapo Azam FC itavaana na Yanga SC. Chini ni ratiba ya michezo ya leo iliyotolewa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)