Mchekeshaji Peter Mollel alimaarufu kama Pierre Liquid jana amefika bungeni na kutana na Spika wa Bunge, Job Ndugai, Naibu Spika, Dkt. Tulia Ackson na Katibu wa Bunge, Stephen Kagaigai.
Mchekeshaji Peter Mollel alimaarufu kama Pierre Liquid akisalimiana na Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kulia) katikati ni Katibu wa Bunge, Stephen Kagaigai.
Naibu Spika, Dkt. Tulia Ackson (kulia) akisalimiana na Pierre Liquid.
…Wakiongea jambo.
Pierre Liquid akionyesha makali yake kwa kumtaja Spika wa Bunge, Job Ndugai na Rais Magufuli kuwa wapo juu.
PICHA NA BUNGE DODOMA
The post Piere Liquid Atinga Bungeni Dodoma Akutana na Spika appeared first on Global Publishers.