NEWS

15 Novemba 2019

Msanii Beka Flavour amtungia wimbo Rais Magufuli | Hapa Kazi Tu

Msanii wa Bongo Fleva, Beka Flavour ametunga wimbo maalum kwa ajili ya Rais John Magufuli na Chama chake cha CCM kwa ajili ya mambo mazuri aliyoyafanya tangu alipoingia Madarakani.