NEWS

3 Januari 2021

Ajali ya treni yaua na Kujeruhi Jijini Dodoma

Watu watatu wamefariki dunia na wengine zaidi ya thelathini wamejeruhiwa, baada ya treni waliyokuwa wakisafiria kutoka jijini Dar es salaam kuelekea mkoani Kigoma, kupata ajali katika eneo la Kigwa wilayani Bahi mkoani Dodoma.