NEWS

26 Juni 2021

Tangazo La Kuitwa Kazini Walimu Na Kada Ya Afya


Ofisi ya Rais TAMISEMI,inapenda kuwatangazia Umma kuwa,imekamilisha mchakato wa kuchambua maombi ya ajira ya Elimu na Afya iliyotangazwa tarehe 09/05/2021

Kuona Orodha ya Walimu  <<Bofya hapa>>

Kuona Orodha ya Kada ya Afya <<Bofya hapa  >>