NEWS

28 Septemba 2013

Picha: Movie mpya ya Wema Sepetu ‘Madame’ na ya Ray na Naj ‘Fans of Death’




Filamu mpya za kibongo ambazo unaweza kuanza kuziona soon.
Madame ni filamu aliyoigiza Wema Sepetu na wakali wengi kama Simon Mwapagata aka Rado, Deogratius Shija, Sudi Ally na Maulid Ally.
f557e8141e8a11e3ba2d22000a1f97cd_7
Fans of Death ni filamu mpya ya Vincent Kigosi aka Ray aliyoigiza na hitmaker wa Don’t Let Me Go, Najma pamoja na Slim Omar.
2c41c1b41f0411e3b61a22000ae80d92_7