Davido akihojiwa na Clouds TV
Baada ya kutua uwanja wa ndege wa JK Nyerere Davido Alipokelewa na Waandishi wa Habari wa Kina Media ambao walifika kutaka kujua mawili matatu kabla ya shoo
Davido alitweet kitu kizuri muda mchache Baada ya Kutua Tanzania
Touchdown Tanzania beautiful city!!!
— Davido (@iam_Davido) October 24, 2013
Hitmaker huyo ni mmoja wa wasanii wa kimataifa watakaotumbuiza Jumamosi hii kwenye Serengeti Fiesta ya Dar es Salaam itakayofanyika kwenye viwanja vya Leaders Club.
Image Credit via: Bongo5
