
“Naamini mimi sio mwema sana mpaka Mungu akaniwezesha kuona mwezi huu nikiwa mzima na mwenye afya. kwa kutambua hilo nimeanza mwezi huu kwa kupita katika hospitali ya Ocean Road na kutoa mchango ili kuwasaidia wagonjwa wa CANCER na tuwe na utaratibu wa kuwakumbuka wahitaji kwa chochote tulichonacho,” aliandika.