
Meya Jerry Slaa akiangalia moja ya picha zilizokamilika na zilizochorwa na mchoraji wa Tanzania
Kampeni hiyo imepanga kukusanya shilingi bilioni 4.98 zitakazotumika kununulia madawati kwenye shule za msingi na sekondari 30,487 katika manispaa ya Ilala kwa mwaka wa fedha 2013/14.
Mchoraji akilichora soko la Kariako, wanaotazama ni Meya Slaa na Mkurugenzi Mtendaji wa 361 Mustafa Hassanali
Picha hizo zitauzwa kwenye mnada wa hisani utakaofanyika Hyatt Regency Kilimanjaro Hotel Jumamosi hii ya November 16.
Mchoraji Haji Chilonga akiwa kazini
Jumla ya wachoraji 10 wameshiriki kuchora picha mbalimbali.

Jumla ya wachoraji 10 wameshiriki kuchora picha mbalimbali.
Meya Slaa akiongeza kitu kwenye picha iliyochorwa na Poni Yengi
Wachoraji wanaoshiriki ni:
– ROBINO NTILA
– AGGREY MWASHA
– SALUM KAMBI
– CUTHBERT SEMGOJA
– JAMES HAULE
– HAJI CHILONGA
– THOBIAS MINZI
– MOSES LUHANGA
– PONI YENGI MISS
– VITA MALULU