Baby Madaha amesema kuwa uzinduzi huu utahusisha waalikwa tu na sio wa viingilio kama ilivyozoeleka kwenye uzinduzi wa vitu mbalimbali hapa nchini.
Tazama Trailer yake Hapa Chini
Katika uzinduzi huu baby Madaha pia anatarajiwa kuzindua nyimbo zake nyingine mbili mpya alizozifanya chini ya label ya Cand and Candy ya jijini Nairobi Kenya ambazo zitajumlisha orodha ya nyimbo nne alizoziachia katika kipindi cha miezi mitatu.
