Wageni wa kipindi hicho watakuwa wakibadilika kuanzia kwa wasanii wa muziki, waigizaji, watangazaji wa radio na TV (of course za Naija), na watu wengine maarufu.
Tiwa Savage na Banky W
Producer wa kipindi hicho Adeola Oloyede amesema ‘The Banky & Tiwa Show’ kitakuwa cha kwanza cha aina yake, “For the first time, we are getting a glimpse into the minds of our celebrated stars in the entertainment industry, through The Banky & Tiwa Show. The programme is fun, informative and entertaining, it is peeling back”, alisema.
Kipindi hicho ambacho kimeanza kuonekana jana (Dec 17) kitakuwa kikirushwa kupitia CHANNEL 165 kwenye DSTV.

