Hata hivyo ratiba ya mazishi hayo ilizidisha muda kwa karibu masaa mawili na hivyo mila za kikabila kuwa mazishi yanatakiwa mchana wakati jua likiwa utosini ilibadilika.
Mandela alifariki December 5 akiwa na umri wa miaka 95.
Mandela alifariki December 5 akiwa na umri wa miaka 95.
Jeneza la Mandela likiwa limezungukwa na maafisa wa juu wa jeshi
Wageni waliohudhuria ni pamoja na Rais Jakaya Kikwete na marais wengine wa Afrika, Prince Charles, Oprah Winfrey, Richard Branson mwanaharakati wa Marekani, Jesse Jackson.
Huyu ni Mjukuu wa Mandela, Nand akiongea mbele ya waombolezaji huko Qunu
Oprah Winfrey (katikati) akiwa na mume wake Stedman Graham (kushoto) na bilionea wa Uingereza Richard Branson
Prince Charles akisalimiana na wageni wengine
Ukumbi huu maalum ulijengwa kwa ajili ya kufanya maombi kabla ya mazishi ya Mandela
Wanajeshi hawa walisindikiza jeneza la Mandela hadi katika ukumbi maalum ambako ibada ya kumuaga Mandela ilifanyika
Waliokuwa wake za Mandela walikesha usiku kucha kabla mazishi kufanyika leo
Kuambatana na tamaduni za watu wa Thembu ukoo wa Mandela, jeneza la mfu hufunikwa kwa ngozi ya Ng'ombe ishara ya umuhimu wake katika jamii
Wakazi wa Qunu wakishuhudia kwa mbali mazishi


















