Picha hiyo ilipunguzwa na kumuonesha Zhukova na sehemu tu ya kiti hicho baada ya kuleta mjadala mkubwa mtandaoni kutokana na kuwa kibaguzi.Kwenye maelezo yake yaliyochapishwa na gazeti la The Moscow Times, Zhukova alisema kutumika kwa picha hiyo ni kitendo cha kujuta hasa katika siku ya Martin Luther King Jr na kwamba yeye si mbaguzi wa rangi.
Sehemu ya maelezo yake inasomeka: This photograph, which has been published completely out of context, is of an art work intended specifically as a commentary on gender and racial politics. I utterly abhor racism, and would like to apologize to anyone who has been offended by this image

.jpg)