Mtoto wa Dina Marious na Reuben Ndege ‘Zion’
“Na ataitwa jina lake,Zion!…thank you lord and wote kwa sala na dua zenu.Mimi na baby wangu @nchakalih tumeingia rasmi kwenye dunia ya uzazi.”
“Na ataitwa jina lake,Zion!…thank you lord and wote kwa sala na dua zenu.Mimi na baby wangu @nchakalih tumeingia rasmi kwenye dunia ya uzazi.”
Upande wa Ncha Kalih naye hakukosa kitu cha kumwambia baby mama wake:
Bongo61 Inawapa Ongera Baba na Mama Zion kwa kupata mtoto.

