Wasanii walioshiriki kwenye Haki ni pamoja na Quick Rocker, Mchizi Mox, Godzilla, Kala Jeremiah, G-Nako na Nikki wa Pili. Wengine ni Fid Q, Joh Makini, Gosby, Profesa Jay, Mwana FA, Danny Msimamo na Kalapina.
Wimbo huo uliotayarishwa na P-Funk Majani kwenye studio za Bongo Records na utakaoachiwa Ijumaa hii, una lengo la kulihamasisha bunge la katiba mpya kuingiza suala la sanaa na haki za kazi za kiubunifu (Intellectual Property) kwenye katiba hiyo.
Wimbo huo uliotayarishwa na P-Funk Majani kwenye studio za Bongo Records na utakaoachiwa Ijumaa hii, una lengo la kulihamasisha bunge la katiba mpya kuingiza suala la sanaa na haki za kazi za kiubunifu (Intellectual Property) kwenye katiba hiyo.
