Mchg.Peter Msigwa (Mb) Iringa Mjini akitoka mahakamani baada ya kuachiwa kwa dhamana
Msigwa akiwa na wafuasi wake akiwa amebebwa juu juu
Msigwa akipitishwa mbele ya ofisi za Manspaa
Msigwa akiwa amebebwa na kushangiliwa nje ya ofisi za Manispaa
Msafara wazuiliwa na Polisi
Msigwa amuliwa kushushwa chini na kutembea
Msigwa apanda gali
Msigwa aanza msafara kuelekea ofisi za chama Mtaa wa Mshindo







