Majani akiwa kwenye kaburi la Ngwair
Mtayarishaji huyo wa muziki alikuwa anatokea bungeni Dodoma ambako alienda pamoja na watu wengine kuhimiza kutambulika rasmi kwa shughuli za sanaa kwenye katiba mpya ya Tanzania.
“Visit Ngwair’s grave on my way back from Dodoma, it was very emotional,” aliandika Majani jana.
