Baba na Mama Northwest Kanye West na Kim Kardashian wanatarajia kufunga ndoa jijini Paris, Ufaransa May 24.
“Haitakuwa harusi kubwa,” chanzo kimoja kililiambia jarida la PEOPLE. Kilisema kuwa watu 150 watahudhuria. Mtoto wao North West, atakayefikisha mwaka 1 mwezi June, anadaiwa kufanya kitu kwenye harusi yao.
7 Machi 2014
Home
Habari za Mastaa
Kanye West
Kim Kardashian
Ndoa ya Kim Kardashian na Kanye West Kufungwa May 24 Mwaka Huu
Ndoa ya Kim Kardashian na Kanye West Kufungwa May 24 Mwaka Huu
Tags
# Habari za Mastaa
# Kanye West
# Kim Kardashian
About Mrs News Tanzania
Kim Kardashian
Category:
Habari za Mastaa,
Kanye West,
Kim Kardashian
