Victoria Kimani ameamua kujipamba na urembo wa Pwani kwa kujichora na tattoo za Henna. Na muimbaji huyo mrembo wa Kenya aliyetua Dar es Salaam wiki hii kung’arisha uzinduzi wa kipindi cha The Playlist cha Times FM, ameamua kuyaonjesha macho ya followers wake wa Instagram jinsi urembo huo ulivyomtoa chicha, mashalaah.. Safisha macho kwa uumbaji huu wa Mola..
8 Machi 2014
Home
Picha za Mastaa
Victoria Kimani
Picha: Victoria Kimani adatisha na ‘tattoo za henna’ za mapajani na mgongoni, utata mtupu…
Picha: Victoria Kimani adatisha na ‘tattoo za henna’ za mapajani na mgongoni, utata mtupu…
Tags
# Picha za Mastaa
# Victoria Kimani
About Mrs News Tanzania
Victoria Kimani
Category:
Picha za Mastaa,
Victoria Kimani





