NEWS

30 Machi 2014

Video: Jay Mo, Profesa Jay & Juma Nature wavaa gwanda za kijeshi kwenye ‘JWTZ’

Wasanii manguli wa Tanzania ambao majina yao yanaanzia na J, Juma Mchopanga aka Jay Mo, Joseph Haule aka Profesa Jay na Juma Cassim ana Nature wameingia studio kufanya ngoma mpya iitwao ‘JWTZ’.



Video: Jay Mo, Profesa Jay & Juma Nature..!