Penzi la mastaa wetu wa bongo, Diva ambaye ni mtangazaji wa Clouds FM na King Crazy GK ambaye ni msanii wa bongo flava, Limeingia kwenye mtego baada ya Diva kuweka PICHA kwenye ukurasa wake wa INSTAGRAM akiwa ana KISS na mfanyakazi mwenzake a k a Handsome wa Cloudsfm....PATAMU HAPO...Kwa kuelewa kuwa picha hii ni tata, Diva aliandika maneno haya jini ya picha hiyo;
23 Mei 2014
Home
Loveness Diva
Udaku Live
Picha: Mcheki Lovnec Diva wa Clouds Fm akipigwa Romance, na kusema....
Picha: Mcheki Lovnec Diva wa Clouds Fm akipigwa Romance, na kusema....
Tags
# Loveness Diva
# Udaku Live
About Mrs News Tanzania
Udaku Live
Category:
Loveness Diva,
Udaku Live

