Kupitia Twitter, Lucci ameandika tweets zenye maswali kadhaa kwa mheshimiwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
“Hongera kwako mheshimiwa rais Kikwete kwa juhudi unazofanya kwa ajili ya wasanii wa taifa letu, hata hivyo; nina walakini kidogo.”
“Ni kitu gani ambacho wasanii tumefanya kwa elimu tuliyoipata mara kwa mara kutoka katika taasisi zetu kama BASATA na COSOTA?”
“Hongera kwako mheshimiwa rais Kikwete kwa juhudi unazofanya kwa ajili ya wasanii wa taifa letu, hata hivyo; nina walakini kidogo.”




