“Coz nampenda mke wangu nimeamua kuchora jina lake! Ila imeuma kuliko tattoo iliyopita! Siju kwa nn??,”
ameandika kwenye picha aliyoiweka Instagram.
Tazama picha zaidi shilole na NuH Mziwanda wakiwa pamoja na Tattoo alizochora Nuh Mziwanda
Hapa Nuh Mziwanda anakuuliza "kwani dhambi kumpenda sana mtu anaekupa furaha?.#msondongoma





