NEWS

29 Desemba 2016

HII NDO HARUSI YA KIPEKEE NA AJABU ,SASA YAWA GUMZO MKOANI MARA..WATOTO WADOGO WATAWALA KUONGOZA

Leo Disemba 29, 2016 ni siku ya furaha kwa ndugu, jamaa na marafiki wa kijana Jackson John Binagi, wa Kenyamanyori Tarime mkoani Mara (wa tatu kushoto),aliyefunga ndoa na Bi.Monica Syaga wa Mogabiri Tarime, Mara.
Maharusi na wapambe wao, pamoja na ndugu, jamaa na marafiki
Maharusi na wapambe wao
Maharusi katika ubora wao
Wazazi wa bibi harusi wakiongozwa na baba, wakimpa baraka bibi harusi
Ni furaha kwa ndugu, jamaa na marafiki kucheza ngoma ya asili ya kikurya (Ritungu) kwenye harusi hiyo.

The post HII NDO HARUSI YA KIPEKEE NA AJABU ,SASA YAWA GUMZO MKOANI MARA..WATOTO WADOGO WATAWALA KUONGOZA appeared first on The Choice.