NEWS

31 Machi 2017

Kimenuka South Africa..Rais Jacob Zuma Afikiria Kujiuzulu


Kutokana na migogoro inayoendelea South Africa ndani ya chama tawala cha African National Congress (ANC), Rais Jacob Zuma anajifikiria kujiuzulu nafasi hiyo mwakani japokuwa muda wake haujaishia.

Nini maoni yako