NEWS

27 Machi 2017

VIDEO:Alichoongea Ney wa Mitego Baada ya Serikali Kuamua Kumwachia na Kutoka Selo

Ney wa Mitego amewashukuru wasanii wote walioonyesha sapoti kwake kipindi alichokuwa matatizoni
pia amemshukuru Rais Magufuli na waziri wake Mwakyembe, ila kuhusu kuonana na Mwakyembe Dodoma kama waziri alivyotaka amesema mpaka afikirie kwanza
Bonyeza Play