Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imeanza usajili wa wakimbizi katika kambi ya Nyarugusu, Wilayani Kasulu, mkoa wa Kigoma kwa lengo la kuwapatia watumishi wote vitambulisho.
Watumishi wa NIDA wakisajili wakimbizi katika kambi ya Nyarugusu walayani Kasulu mkoani Kigoma leo
Watumishi wa NIDA wakiwapanga tayari kwa usajili wakimbizi katika kambi ya Nyarugusu walayani Kasulu mkoani Kigoma leo