Omar, Mtoto wa Marehemu Abdulcisco Mtiro akiweka mchanga kwenye kaburi la Baba yake
Rais Mstaafu wa awamu ya pili Alhaj Ally Hassan Mwinyi, akiweka mchanga kwenye kaburi la Marehemu Balozi Abdulcisco Mtiro katika Makaburi ya Kisutu Jijini Dar es Salaam
Rais Mstaafu wa Awamu ya nne Dk Jakaya Mrisho Kikwete akiweka mchanga kwenye kaburi la Marehemu Balozi Abdulcisco Mtiro katika Makaburi ya Kisutu Jijini Dar es Salaam
Wazirio Mkuu Mstaafu Salim Ahmed Salim akiweka mchanga kwenye kaburi la Marehemu Balozi Abdulcisco Mtiro katika Makaburi ya Kisutu Jijini Dar es Salaam
Jaji Mkuu Mstaafu Mhe. Othman Chande,akiweka mchanga kwenye kaburi la Marehemu Balozi Abdulcisco Mtiro katika Makaburi ya Kisutu Jijini Dar es Salaam
CDF Mstaafu Jenerali Davis Mwamunyange akiweka mchanga kwenye kaburi la Marehemu Balozi Abdulcisco Mtiro katika Makaburi ya Kisutu Jijini Dar es Salaam
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ,Paul Makonda, akiweka mchanga kwenye kaburi la Marehemu Balozi Abdulcisco Mtiro katika Makaburi ya Kisutu Jijini Dar es Salaam
Balozi Ben Mashiba akiweka mchanga kwenye kaburi la Marehemu Balozi Abdulcisco Mtiro katika Makaburi ya Kisutu Jijini Dar es Salaam
Balozi ,Abdulhaman Shimbo, akiweka mchanga kwenye kaburi la Marehemu Balozi Abdul Cisco Mtiro katika Makaburi ya Kisutu Jijini Dar es Salaam. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA