CHAMA CHA MUZIKI WA KIZAZI KIPYA TANZANIA (TUMA) TANZANIA URBAN MUSIC ASSOCIATION Inakuletea Kongamano la Wasanii katika Jiji la Mbeya Watoa mada ni TUMA, BASATA, COSOTA, TRA, PCCB & NHIF.. Kuhusu : Usajili, Haki miliki, Ulipaji kodi, Maadili, Rushwa na Bima. JUMAMOSI hii, Tarehe 10/06/2017 Mahali: TUMANYENE SOCIAL HALL- Nzovwe Kuanzia saa nne asubuhi hadi saa nane na nusu mchana. HAKUNA KIINGILIO….wote mnakaribishwa #msaniijisajiliTUMA @bratonmtz