NEWS

27 Februari 2018

Chadema Yakimbiwa na Wadiwani Wawili na Wanachama 20 Kagera...Watimkia Chama Hichi


KYERWA, KAGERA: Madiwani wawili wa CHADEMA, TulakilaTwijuke wa Kata ya Bugomora na Sadath Jeremiah wa Kata ya Kibale wamehamia CCM
-
Pia wanachama takribani 20 kutoka vyama mbalimbali vya Upinzani Wilayani humo wamehamia CCM
-
Madiwani na Wanachama hao wamedai kuridhishwa na utendaji wa Rais John Magufuli na kwamba hawajahongwa na mtu yeyote