NEWS

18 Agosti 2018

Exclusive: EFM Waeleza Kwanini Wamempiga ‘Stop’ Mavoko Kwenye Komaa Concert 2018 Licha ya Kumtangaza (Video)


Muimbaji, Rich Mavoko ameshindwa kufanya show yake ya kwanza ndani ya tamasha la Komaa Concert 2018 jijini Dar es salaam toka aondoke WCB baada ya uongozi wa EFM kuamua kusitisha asifanye show licha ya kumtangaza kwamba atakuwa kwenye tamasha hilo liliohudhuriwa na watu 30000.

VIDEO: