NEWS

22 Agosti 2018

Tunawatakia Sikukuu Njema ya Idd el Hajj

Waislamu  nchini leo wanaungana na Waislamu wenzao katika nchi mbalimbali, kusherehekea sikukuu ya Idd el Hajj. 

Maadhimisho ya sikukuu hiyo kitaifa yanafanyika jijini Dar es Salaam. Pia  swala ya Idd leo hii itafanyika katika Uwanja wa Msikste Tamaa uliopo Vingunguti na Baraza la Idd litafanyika hapo hapo baada ya swala hiyo.

Mpekuzi Blog Tunawatakia Sikukuu Njema Waislamu Wote Nchini