NEWS

14 Oktoba 2018

Afukuzwa kazi Baada ya Kuwaibia Fedha Mabosi wake na Kuwapa Masikini


Raia wa Italia Gilberto Baschiera amefukuzwa kazi na kupoteza nyumba yake baada ya kugundulika kuwa alikuwa akiwaibia fedha Matajiri katika akaunti zao zaidi ya Tsh. Bilioni 2 na kuwapa Maskini.
Toa maoni