NEWS

14 Oktoba 2018

Breaking News: Zuberi Kuchauka Wa CCM Ashinda Ubunge Liwale

Zuberi Kuchauka akipongezwa na msimamizi wa uchaguzi baada ya kutangazwa.

MGOMBEA Ubunge Jimbo la Liwale kupitia CCM, Zuberi Kuchauka amefanikiwa kupata ushindi wa kura 34,582 sawa na asilimia 85.81%, kabla ya kugombea kupitia CCM Kuchauka alikuwa Mbunge wa Jimbo hilo kwa tiketi ya CUF na akatangaza kujiuzulu kisha kugombea tena.

The post Breaking News: Zuberi Kuchauka Wa CCM Ashinda Ubunge Liwale appeared first on Global Publishers.